Tell your friends about this item:
Sheria Za Mikopo Na Vyama Vya Ushirika Tanzania Adv Paulo Karlo Kalomo
Sheria Za Mikopo Na Vyama Vya Ushirika Tanzania
Adv Paulo Karlo Kalomo
Kitabu hiki kinaezea haki na wajibu wa mkopaji na mkopeshaji, jinsi ya kuweka na kukomboa rehani, utaratibu wa kudai madeni kisheria, na kuuza rehani, jinsi ya kuweka rehani mali zinazo hamishika (magari, pikipiki, mashine, fanicha za nani na origini nk.) na Sisizo hamishika (Nyumba, viwanja, mashamba nk..). Jinsi kuanzisha na kusajili taasisi ya fedha kama vile benki, saccos, vikoba, biashara zinazo jihusisha na ukopeshaji mitaani, jinsi ya kuanzisha na kusajili vyama vya ushirika, saccos n.k
| Media | Books Paperback Book (Book with soft cover and glued back) |
| Released | July 5, 2018 |
| ISBN13 | 9781722477790 |
| Publishers | Createspace Independent Publishing Platf |
| Pages | 36 |
| Dimensions | 152 × 229 × 2 mm · 68 g |
| Language | Swahili |
See all of Adv Paulo Karlo Kalomo ( e.g. Paperback Book )