Tambua Na Tumikia Kusudi La Mungu Maishani Mwako - Dr Gerson Mgaya - Books -  - 9798674417033 - August 11, 2020
In case cover and title do not match, the title is correct

Tambua Na Tumikia Kusudi La Mungu Maishani Mwako

Price
$ 34.99
excl. VAT

Ordered from remote warehouse

Expected to be ready for shipping May 27 - Jun 8
Add to your iMusic wish list

Kila mtu amekuja duniani kwa kusudi maalum. Hakuna mtu anayekuja kwa bahati mbaya! Lakini ukisoma Mwanzo 6 utaona habari za viumbe waliofahamika kama wanefili. Hawa hawakuwa binadamu kwa asilimia 100. Walikuwa ni mchanganyiko wa binadamu na malaika walioasi. Kuzaliwa kwao duniani kulikuwa ni kwa kusudi maalum, lakini kwa bahati mbaya, kusudi hilo halikuwa kusudio la Mungu. Lilikuwa ni kusudi la ibilisi ili kuupinga mpango wa Mungu wa kuleta mbegu itakayo uharibu ufalme wa giza. Hata kama Mungu aliangamiza watu wa kizazi kile akimwacha Nuhu na watoto wake, kwa namna ambayo ibilisi ameendelea kufanya kazi, ameendelea kupenyeza mpango wake hata sasa. Maana yake, anaendelea kuleta watu kinyemela na wakati mwingine kwa njia ya kuzaliwa kama ambavyo wengine huzaliwa. Hao pia wamezaliwa kwa kusudi maalumu, lakini sio kwa ajili ya kusudi la ufalme wa Mungu. Ni kwa ajili ya kusudi la ufalme wa giza. Utakachokiona ni kwamba binadamu yeyote yule hajazaliwa kwa bahati mbaya. Ama amekuja kutekeleza kusudi la ufalme wa giza au kusudi la ufalme wa Mungu. Usipojua umeletwa kwa kusudi gani, unaweza kuiga kusudi lisilokuhusu! Katika kitabu hiki, utajifunza kutambua kusudi la Mungu maishani mwako na namna ya kulitumikia. Soma kwa makini kwa sababu hiki ni kitabu kinachoweza kukusaidia kubali maisha yakeo. Maana wengi wetu tunaishi na kuzalisha chini ya kiwango kinachotakiwa kwa sababu hatujui kusudi la Mungu maishani mwetu. Kwa njia ya kitabu hiki, utapata nafasi ya kuzalisha kile alichokusudia Mungu kwa ajili yako.

Media Books     Paperback Book   (Book with soft cover and glued back)
Released August 11, 2020
ISBN13 9798674417033
Pages 380
Dimensions 127 × 203 × 22 mm   ·   412 g
Language Afrikaans  

More by Dr Gerson Mgaya

Show all